Matokeo Ya Mtihani Wa Kitaifa Umetokea Huku Mwanafunzi Wa Kwanza Akiwa Magata Bruce Makenzie Kutoka Shule Ya Msingi Ya Gilgil Hills Akiwa Na Alama 428 Akifuatiwa Na Momanyi Ashley Kerubo Kutoka Shule Ya Makini Kibos Akiwa Na Alama 427 Huku Nambari Ya Tatu Ikishikiliwa Na Wanafunzi Sita.